MAONI YA WAKAZI WA TRANS NZOIA KUHUSU UAMUZI WA TRUMPH


Maoni ya wakazi kuhusu kauli ya rais wa marekani Donald Trumph

 
Siku chache baada ya rais wa marekani Donald trump kuapishwa amesema kuwa ni wakati sasa viongozi wa nchi zingine kuacha ufisadi na kuanza kujitegemea .wakazi wa kaunti ya trans nzoia wametoa kauli mbalimbali kuhusiana na hoja hiyo ya trump


kulingana na barrack mkaazi wa mji wa kitale katika kaunti ya trans nzoia amesema kuwa Trump amekosea kusema kuwa viongozi wa afrika wajisimamie kwa sababu marekani wakiwa wafadhili wakuu wanapaswa kushiriakiana na viongozi wa nchi ambazo hazijaendeleai ili kuwainua kimaendeleo .


kauli sawia imekaririwa na junephana wepukhulu mkaazi wa liyavo amemwomba trump kutositisha ufadhili wa madawa kwa sababu watu wenye maisha ya chini ambao wanaoishi na virusi vya ukimwi, saratani na malaria ndio watakaongamia kwa kukosa fedha za kufadhili matibabu Yao.



Aidha, Boaz khaemba ambaye ni bodaboda wa mji wa kitale amesema kuwa anaunga hatua ya trump ya kuondoa misaada kwa sababu misaada mingi inayotakona na ufadhili wa marekani uwa unaishia kwa mikono ya viongozi fisadi nchini bila kufikia mwananchi wa kawaida.


 

Comments

Popular posts from this blog

mawakili wa kukodishwa KAUNTI ya trans nzoia